Tuesday, July 30, 2013

Sheria ya usalama barabarani

kama ni sheria bora duniani ni usalama barabarani.Sheria hii ya usalama barabarani ikifuatwa itasaidia sana.Lakini nchi yetu ubabaishaji mtupu kwa mfano gari la abiria tsh 400/= ila kwa sababu tu usafiri ni tabu mtalipa buku.Sawa kwa wakati huu usafiri ni mgumu utakuta watu wenye magari binafsi sio ya abiria wanakupiga kutoka 600 mpaka 2000 utafanyaje na sisi ndo wenye shida tunalipa ila sheria haijafanya kazi yake.Sio siri inaumiza sana maisha yenyewe bongo yako wapi wenye nacho watazidi kuwa nacho tu sisi wengine tutaendelea kusanda.