Sunday, September 15, 2013

Mashirika yanayotoa ajira bila ubabaishaji tanzania

Ifuatayo ni orodha ya mashirika,taasisi au ngo ambazo hazina uchakachuaji katika kutoa ajira/nafasi za kazi..

Imekuwa ni kawaida mashirika kutangaza ajira eti kwa sababu ya shinikizo la serikali kufanya hivyo.Kama ni ndio basi ni kitu kibaya sana maana ni kupotezeana muda na gharama unazowezakutumia katika ufuatiliaji ya interview au usaili.Orodha ni
(1)Aluminium Africa Limited-Nyerere road hichi ni kiwanda kinahusika na uzalishaji wa mabati
(2)Mantrac Tanzania-Nyerere road hawa wanahusika na mashine za katapila
(3)Kilombero Sugar Company Limited-Morogoro ni kiwanda cha uzalishaji sukari tanzania
(4)Nafasi mbalimbali zinazosimamiwa na Utumishi
(4)TANROAD
(5)Central Electrical International-Hawa ni wanahusika na wiring katika miradi mikubwa ya nyumba/maghorofa ya mashirika binafsi au ya UMMA
(6)Radi Services-Bagamoyo road ni wataalamu wa mashine za motor,transformer na generator
(7)Tanga cement-Tanga watengenezaji wa cement
(8)Mtibwa sugar-Morogoro wanahusika na uzalishaji wa sukari
(9)Tanalec Arusha-Wasukaji wa transformer
(10)Muhimbili National Hospital
(11)Delta-Nyerere road
(12)CSI