Sunday, July 14, 2013

BINADAMU TUSHIRIKIANE.

Wakati mwingine sisi binadamu ni waajabu sana.Badala yakufikilia maisha haya tutafanyaje yawe nafuu kwa kila mtu lakini unakuta mtu anapindisha tu eti kwa kulinda itikadi zake.Dunia mapito jombaa tushirikiane kama mchwa tufike lengo..Maana utanicheka mimi leo kesho yanaweza mkuta ndugu,rafiki au kizazi chako mwenyewee..