Sunday, July 14, 2013

HIVI DUNIANI HAPA TUPO KWA KUSUDI GANI??

Kila nikijiuliza kusudi la kuepo duniani napata kigugumizi .Je tumekuja kujitesa au kupingana na maumbile halisi ya kibinadamu..Ndio kwa sababu vitu vizuri vingi ni haramu au wanasema anasa.Kwa mifanano Moja ni pombe hii inapendwa na baadhi ya jamii na ni sehemu ya kiburudisho kwao;Pili ni Wanawake/Wanaume hawa wanapingwa sana ila unatakiwa kuwa naye mmoja hasa baada ya ndoa na Tatu Chakula unakuta watu wanajinyima kula eti wamefunga..

Lakini baadhi ya ivyo vina leta maana Mfano POMBE kiukweli ukizidisha pombe lazima utafanya mambo ya ajabu nakukusababishia Majuto; na Pili Wanawake/Wanaume kimsingi tukiwa waaminifu kwa kuwa na mke/mme mmoja tutaishi kwa amani na kujiamini ila ukienda tofauiti tuu inakula kwako mara eeh kaswende ,gonorhea mbaya zaidi UKIMWI.Ila hata kula kwaweza sababisha madhara mfano baadhi ya vyakula watu wana aleji navyo.Ndo maana katika uzima wa milele hakuna kula wala kunywa.

HAAAA KILA KITU DUNIANI KINAMAKUSUDI YAKE.