Sunday, July 28, 2013

Mtazamo tu

Nchi yetu sasa si nchi ile ya mwaka 47.Kwasasa Viongozi wanatakiwa wakipewa wizara basi ilingane na taaluma yake hii itasaidia utendaji bora.Huu si wakati wa ujanja ujanja hata kama unafanyika ila mwisho wake upo tu.Unapopewa dhamana na wananchi basi wajibika mbona rahisi tu.Fanya vizuri nawe ukumbukwe kama Nyerere hata kama upendi ivyo basi fanya kwasababu Mungu anaona ambavyo binadamu hawezi ona.

No comments: