Sunday, July 28, 2013

Freemason

Watu wengi wanaongea kuhusu freemason ila wengi hatujui ni nini?.Wapo wanasema freemason ni dini.Yawezekana ikawa ni dini ila kwa nilivyo chunguza Freemason kwa kiswahili maana yake ni Mjenzi huru.Maana yake kuna uhuru wa kuanzisha unachokitaka yaani kujenga.Jumuiya hii ni yasiri ndo maana kwa nchi za afrika haijulikani sana kama nchi za ulimwengu wa kwanza.Kiukweli jumuiya hii ni hatari sana kwa mwanadamu maana malengo yake si mazuri kwa mwanadamu.Huu ni ujanja wa shetani wa kumpa uwezo mwanadamu ili amdanganye ili waende pamoja motoni(ziwa la moto).Muovu huyu akaacha kiti chake na kumpa mwanadamu kiti hicho ili kufanya lolote amdanganye binadamu huyu.Freemason hawa wanaamini kuwa kuna nguvu ipo tu kiasili(supreme being) huyu ndo shetani kapotosha badala ya kuamini Mungu anapotosha kwamba yeye ndo ananguvu loooh Eeee Mungu utusaidie maana duniani tunayodhiki.

No comments: