Sunday, July 28, 2013

Si sahihi

Mtazamo huu si sawa eti ukiongea ukweli utachukiwa.Hii aileti maana kwasababu tukikubaliana hivyo basi inamaana watu wanapenda kudanganywa.Msemo huu unatumika pale tu kunapo kuwa na maslahi ya watu alafu useme kweli hapo watu hao lazime wakuchue na siyo wanakuchukia kwa kusema ukweli bali  kwasababu utawahatarishia maslahi yao.Huu ndo ukweli wenyewe utaupata hapahapa tu.

No comments: