Saturday, July 27, 2013

Je unataaluma hiyo?

Ni bora kukaa kimya kama hujui jambo fulani sio kulopoka mwisho wasiku utaonekana huna maana.Wakatimwingine unakuta mtu mishipa imemtoka kuongea kitu hata akijui au amesikia tena kwa mtu asiye makini alafu naye anachukua pumba hizo na kubwabwaja ovyo.Ni heri tuongelee kitu tunacho fahamu au tulicho kiona.

No comments: