Saturday, September 14, 2013

AJIRA HAIJAWA NGUMU KIIVYO

Tumekuwa tukitishana sana eti haaa sasa ivi ajira hamna bora kujiajiri.Yawezekana ikawa sahihi ila si kwa fani zote.Vilele kujiajiri kunahitaji mtaji mtu hawezi kumaliza tu masomo yake nakujiajiri kirahisi labda kama ni kuuza karanga au ufundi baiskeli.Lakini kama umemaliza shahada  mtu utapenda ufanye biashara kubwa.Ni kweli kunachangamoto ya kuajiriwa ila sio kiasi inavyosemwa na wengi ila ni sera mbovu ya serikali ndio chanzo cha yote haya.Maana nchi hii inaviwanda na mashirika mengi tatizo ni uendeshaji wa mashirika hayo ambayo hayazingatii taratibu za wafanyakazi kwa lengo lakujipatia faida kubwa.

No comments: