Saturday, September 14, 2013

WATENDAJI WA SERIKALINI/MASHIRIKA YA UMMA WANABOA

Imekuwa kawaida sana katika taasisi,mashirika au serikalini watendaji wake kutozingatia matakwa ya wateja.Hii inatokea sana katika utoaji huduma serikalini ni ubabaishaji mkubwa utapigwa tarehe mpaka ukate tamaa.Alafu hawazingatii muda wa kazi wa kuingia kazini na wakiingia kazini hadithi nyingi badala ya kufanya huduma. Customer care imekuwa tatizo kwa hawa watendaji please tunahitaji huduma maana msipofanya ivyo mnarudisha maendeleo nyuma maana ukichelewa kunihudumia jua wazi, kazi zingine zinasimama kwasababu ya kukusubiri ww ambae umefanya serikali ni shamba la bibi..

No comments: