Saturday, September 14, 2013

Vyombo vya habari

Waandishi wengi wa kibongo wamekuwa wakitukosesha haki ya kupata habari sahihi.Hii inatokana na uoga au itikadi zao za kutetea maslai binafsi.Inapoteza matumaini kama tabia hii itaendelea bila ufumbuzi maana itatengeneza taifa lisilokuwa na watu wenye weledi wa kuelewa mazingira yao kiuchumi,kisiasa hata kisayansi maana hawana maelezo sahihi ya habari zilizopo,zilizopita au zinazo endelea.

No comments: