Saturday, September 14, 2013

Masista du

Madada wengine wanashangaza sana wanamapozi mpaka wanaboa.Unakuta dada analeta pozi utadhani labda yeye ni special sana.Utu wetu sote ni sawa mtu asijione kama yeye ndio yeye mambo yanabadilika muda wowote.Sana madada wa dzm wamesahau duniani kila mtu anapenda maisha mazuri labda kama mtu atakuwa punguani ndio anaweza asipende vitu hivi.Mapozi yamezidi sana wakati mwingine umbo baya,sura mbaya hata mvuta hana ila maringo yamezidi.Hata kama ww ni mzuri si kila mtu labda anababaika na ww kikubwa ni kujirekebisha.

No comments: