Saturday, July 27, 2013

Hasira

Naamini wanadamu wote tuna hasira.Ivi kuna mtu akifinywa anaweza akawa anacheka? badala ya kugugumia maumivu.Kama sio basi ndo tulivyo umbwa .Ila utakuta baadhi ya watu wanajiona hawana hasira ki ukweli tumepishana kiwango katika kuidhibiti hiyo hasira.

No comments: