Vyombo vya habari au mitandao ya kijamii vitumike katika kuiendeleza jamii si vinginevyo.Watu wanatumia vibaya vyombo hivi kudhalilishana na kukebehiana.Badala ya kuombana msamaha inapo bidi lakini mnatupiana maneno sijui mnaona sifa afu mtangazaji sijui anajisikiaje au ndo kushuka kwa maadili.Sio kila mtu anafurahi kujibizana kwenu.Ebu tubadilike