Saturday, July 27, 2013

Nani mtetezi wa wanyonge

Looh inauma napoona wanyonge tunaonewa.Kuna mambo mengi tunashindwa kupata kulingana na kipato chetu.Nguvu ya uma imekuwa hadithi katika nchi zetu.Ila kinachotuponza ni uelewa mdogo miongoni mwetu.Kuna kero nyingi sana kitaa ambazo zinashindwa kutekelezwa na viongozi wetu cha ajabu bado tunaendelea kuwachagua.Kama mtu ameshindwa kutekeleza ahadi zake bila sababu za msingi apigwe chini.

No comments: