Saturday, July 27, 2013

Mpaka lini tutakuwa kichwa cha mwendawazimu

Kila kitu sisi tunasuasua sio michezo,siasa,elimu wala sanaa.Tatizo kubwa ni kujuana na kuacha majembe ambayo yangesonga mbele katika nyanja za kimataifa.Utakuta mtu akianzisha kitu kizuri anasongwasongwa mpaka anakata tamaa.Hata tuzo tunapeana kwa kujuana na kusababisha kutosonga mbele.


Mungu ibariki nchi yetu.

No comments: